Iwapo wewe ni mpenzi wa Kiswahili na una uwezo wa kuandika
makala kuhusu jambo lolote katika lugha sanifu ya Kiswahili basi unaweza jiunga
na waandishi wengine mashuhuri wanaoandikia FAHAMONLINE(www.fahamonline.blogspot.com ). Ukiandika
makala yako yatume kwa franklinpendo@gmail.com
Fanya hima ili usije ukabaki nyumba.
No comments:
Post a Comment