Mti mmoja katika mkoa wa Hamedan, magharibi mwa Iran umevutia watu wengi
baada ya kububujika maji kwa wingi katika kigogo chake.
Wapita njia walivutiwa na mti huo, baadhi wamepiga picha, baadhi yao
wamenawa nyuso, baadhi wamekinga maji hayo kwenye mifuko na vigeleni, alimradi
umekuwa kivutio kwa watu mbalimbali.
kwa Hisani ya Iran Swahili Radio.
No comments:
Post a Comment