Thursday 23 October 2014

Mti unaobubujika maji katika kigogo chake



Mti mmoja katika mkoa wa Hamedan, magharibi mwa Iran umevutia watu wengi baada ya kububujika maji kwa wingi katika kigogo chake.
Wapita njia walivutiwa na mti huo, baadhi wamepiga picha, baadhi yao wamenawa nyuso, baadhi wamekinga maji hayo kwenye mifuko na vigeleni, alimradi umekuwa kivutio kwa watu mbalimbali.




 kwa Hisani ya Iran Swahili Radio.

No comments:

Post a Comment