Tuesday 18 August 2015

Mambo unayofaa kuzingatia unapoogelea baharini, ziwani au mtoni



Ni msimu wa likizo wakati ambapo watu wengi hupendelea kutafuta mahali pa kujivinjari na kuondoa msongo wa panda shuka za maisha.
Wana kwa watu wazima aghalabu huelekea Pwani angalau kuogelea na kubarizi kwenye mchanga wa baharini.
Lakini la kutamausha ni kwamba wapo wengi ambao wamekumbwa na majanga makubwa katika harakati hizo kwa mfano, visa vya hivi punde vya kufa maji kwa wanafunzi saba baharini na kuzama kwa wavuvi watatu katika ziwa Naivasha.
Franklin Momanyi anaangazia tahadhari zinazofaa kuchukulia kabla ya kuanza mtu kujitosa majini kuogelea.

No comments:

Post a Comment