Tovuti hii inakupakulia habari na dondoo kutoka kila mahali nchini Kenya.
Sunday 30 August 2015
Rais Kenyatta anunua ngombe kwa sh. 900,000 maonyeshoni Mombasa
Ukistaajabu ya musa, jipange kuona ya firauni! Hii ni baada ya waliodhuria maonyesho ya kilimo mjini Mombasa kubaki vinywa wazi baada ya fahali mmoja kumgharimu rais Uhuru Kenyatta shilingi laki tisa ili kummiliki. Fahali huyo kutoka ADC Galana ranch, amekabidiwa vijana wa hutuma kwa taifa NYS baada ya rais kumnunua kupitia mnada .
No comments:
Post a Comment