Watu wawili akiwemo mwanamke mkenya walionaswa na polisi wa kitengo cha kukabiliana na ugaidi, wakiwa safarini kuelekea Somalia,siku ya Ijumaa walifikishwa mahakamani mjini Gararisa. Inadaiwa mwanamke huyo alidhamiria kuolewa na mwanamgambo wa Al shabaab.
No comments:
Post a Comment