Tuesday 18 August 2015

Mlemavu aliyetelekezwa na jamaa zake aamua kuishi mwituni, Meru





Mzee mmoja mwenye umri wa miaka sabini alieamua kutengeneza maskani yake ndani ya msitu, baada ya jamaa zake kumtelekeza katika eneo bunge la Maara, kaunti ya Tharaka Nithi. Mzee huyo licha ya ulemavu wake, amedhihirisha ukakamavu wake katika maisha, kwa kuwa na uwezo wa kutoa ushauri nasaha kwa vijana na hata wazee katika jamii hiyo mwanahabari wetu Franklin Momanyi alimtembelea na kutuandalia taarifa ifuatayo.

No comments:

Post a Comment