Tuesday 18 August 2015

Ferdinand Waititu Aongoza Wananchi Kuvamia Vilabu Huko Wangige





Hali ya taharuki kutanda katika eneo la Wangige kaunti ya Kiambu, wakati wananchi wa sehemu hiyo walipoamua kuvamia vilabu mbali mbali katika juhudi za kukabiliana na pombe haramu.
Wakiongozwa na mbunge wao Ferdnand Waititu, wenyeji hao walivunja chupa na kumwaga pombe hiyo ambayo walisema imewaathiri vijana katika sehemu hiyo.

No comments:

Post a Comment