Tuesday 18 August 2015

Diwani wa zamani adaiwa kuwalawiti wanawe 7,Ruiru





Hali ya mshangao imeghubika kijiji kimoja cha Ruiru baada ya kuibuka madai kuwa mwanaume mmoja mwenye umri wa makamo amekuwa akiwalawiti na kuwabaka wanawe saba kwa muda wa miaka miwili sasa.
Duru za kuaminika zasema kuwa kiongozi huyo wa zamani wa wadi ya Ruiru, amekuwa akiwatendea watoto wake wenye umri wa kati ya miaka miwili na kumi na mitano mtawalia, vitendo vya unyama bila ya mama yao kuwa na habari.

No comments:

Post a Comment