Friday 30 October 2015

KDF washambulia na kuuwa wanamgambo 15 wa Al-shabaab





Kikosi cha wanajeshi wa Kenya chini ya muungano wa Amisom, mapema siku ya Jumapili wamewaangamiza wanamgambo 15 wa Alshabab waliokuwa wakivuka mto Jubba katika eneo la Yantoony kutoka Jilib na kuingia eneo la Juba kusini nchini Somalia.
Kulingana na msemaji wa jeshi la Kenya kanali David Obonyo, shambulizi hilo ni kati ya misururu ya mashambulizi yanayoendelea katika ukanda wa Jubba ili kufanikisha kutwaa eneo la Jilib ambalo ndilo ngome la pekee ya wananamgambo hao kusini mwa Shabelle

No comments:

Post a Comment