Sunday 18 October 2015

Wazee kutoka Nyeri wafanya tambiko kwa mti kuanguka juma lililopita





Hali ya taharuki imekumba kijiji cha Ngunguru eneo bunge la Mathira kaunti ya Nyeri baada ya mti wa Mugumu, unaokadiriwa kuwa na zaidi ya miaka mia moja kuaguka.
Tukio hili linajiri chini ya saa 48, tangu wazee kutoka jamii hiyo kuzuru eneo la Gamerock kule Nyeri kufanya tambiko kwa ajili ya mti kama huo ulioanguka eneo hilo wiki jana.

No comments:

Post a Comment