Saturday 3 October 2015

Meneja wa mikopo Equity auawa, siku moja baada ya zaidi ya sh. milioni 2...





Afisa mmoja anayesimamia mikopo katika makao makuu ya benki ya Equity aliyetekwa nyara na majambazi siku ya Ijumaa usiku, amepatikana amefariki leo asubuhi na mwili wake kuachwa ndani ya
gari lake katika eneo la Redhill huko Limuru.
Kisa hiki kinajiri siku moja tu baada ya wezi waliojidai kuwa wakaguzi
wa vitabu vya hesabu kuzuru benki ya Equity tawi la Othaya jana asubuhi na kuiba zaidi ya shilingi milioni 20.

No comments:

Post a Comment