Friday 23 October 2015

Familia haijui binti yao yuhai au amekufa mwaka mmoja tangu aliposafiri





Familia moja katika kijiji cha ngamba eneo bunge la Mathioya sasa imekumbumwa na wingu la taharuki baada ya kukosa kujua aliko mwanao ambaye alikuwa akifanya kazi nchini Saudia Arabia.Mary Muringi ambaye kwa sasa amekuwa mfanyakazi wa nyumba nchini Saudi kwa mwaka muda mmoja, alipigia mamake simu na kumtaka kumwombea baada ya kuzuka mtafaruku baina yake na mwajiri wake.
Kuanzia siku hiyo hawajasemezana tena na wala hapatikani kwa simu.

No comments:

Post a Comment