Friday 23 October 2015

Senata Kiraitu asema angali anafikiria uwezekano wa kusaka ugavana





Seneta wa Meru Kiraitu Murungi ambaye ni kiongozi wa chama cha APK amesema bado angali anafikiria kuhusu iwapo atawainia kiti cha gavana wa kaunti ya Meru katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2017.
Hii ni kufuatia shinikizo anazopata kutoka kwa viongozi wa sehemu hiyo za kumtaka kumenyana na gavana Peter Munya ambaye kwa sasa, viongozi hao wanasema hawajaridhika na uongozi wake.
Kama anavyotuarifu Franklin Momanyi Munya kwa upande wake anashikilia yuko ngangari kupambana na yeyote yule.

No comments:

Post a Comment