Monday 2 November 2015
Gavana Munya adai wahuni wachochewa na viongozi Meru na Isiolo
Gavana wa Meru Peter Munya ametoa wito kwa serikali kuu kuimarisha usalama kwa wanachi wa sehemu ya mpaka wa kaunti za Meru na Isiolo, kufuatia eneo hilo kushuhudia mashambulizi ya mara kwa mara hivi majuzi .
Gavana Munya amesema maswala ya usalama hayajagatuliwa katika katiba na ni jukumu la serikali kudhibiti hali hiyo kabla haijasambaratika hata zaidi kwani hadi kufikia sasa idadi maasifa wa polisi katika eneo hilo ni ya chini mno ikilinganishwa na wahalifu wanaoendelea kutekeleza mashambulizi katika eneo hilo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment