Sunday 8 November 2015

Ziara ya Papa Francis : Kanisa lachangisha shilingi milioni 124 za maand...



Huku zikiwa zimasalia siku 17 kabla ya Papa Francis kutua humu nchini, shamrashamra za maandalizi zinaendelea kwa kasi, huku kila mdau akijaribu kuhakikisha kuwa mambo yanaenda kama ilivyo pangwa.
Katika kanisa la mtakatifu Paulo Nairobi, waimabaji wanaendelea kupiga msasa, na tumbuizo watakazotumia katika makaribisho ya Papa Nairobi.


Kama mwanahabari wetu Franklin Momanyi anavyotuarifu, haya yanajiri siku moja tu baada ya kuchangishwa shilingi milioni 124.5 katika hafla iliyoongozwa na rais mstaafu Mwai Kibaki, zitakazotumika katika ziara ya Papa humu nchini.

No comments:

Post a Comment