Sunday 27 September 2015

Waumini wazozana kuhusu madai ya ushoga katika kanisa la ACK Nyeri





Hali ya utata inazidi kukumba kanisa la ACK Kagongo katika parokia ya Othaya, kaunti ya Nyeri, baada ya waumini wa kanisa hilo kuandaa misa mbili sambamba wakati mmoja, hii leo katika majengo ya kanisa hilo.
Kundi moja la waumini hao linalomuunga mkono kiongozi wa kanisa hilo, aliyetimuliwa wiki jana pamoja na wengine wanne, kwa madai ya kuhusika katika masuala ya ushoga, lililazimika kujitenga na wenzao waliondaa misa yao ndani ya kanisa hilo.

No comments:

Post a Comment