Tovuti hii inakupakulia habari na dondoo kutoka kila mahali nchini Kenya.
Sunday 6 September 2015
Tume ya kuajiri Walimu yaonya kuwafuta wasiporudi kazini jumatatu
Kufuatia uamuzi uliotolea na mahakamani mnamo tarehe 4 mwezi huu kuhusu
mgomo wa walimu, mwajiri wa waalimu TSC amejitokeza kufafanua uamuzi
huo. Alisema kuwa kulingana naye mgomo huo si halali. Tume hiyo sasa inawataka walimu wote warudi shuleni kufikia siku ya Jumatatu tarehe saba saa mbili asubuhi. Aidha tume hiyo iliongezea kuwa wale watakaopuuza agizo hilo basi, hawana budi kutimuliwa kutoka kwa orodha ya waalimu chini.
No comments:
Post a Comment